Changamoto2015
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 773
- 316
Kuna shughuli nataka kuifanya, yanipasa niwe na kampuni, kwa hivyo kama documents za kampuni yeyote ambayo uliregister brela na kwa bahati mbaya haikufanya kazi yeyote mpaka sasa tafadhali tuwasiliane ili tuangalie taratibu za kuuziana pamoja na kubadilisha umiliki kisheria.
Tafadhali hakikisha kampuni haina scandal yeyote, deni lolote kwa mamlaka husika (i.e. TRA, Brela or any other authority) wala scandals.
asanteni
Kuna shughuli nataka kuifanya, yanipasa niwe na kampuni, kwa hivyo kama documents za kampuni yeyote ambayo uliregister brela na kwa bahati mbaya haikufanya kazi yeyote mpaka sasa tafadhali tuwasiliane ili tuangalie taratibu za kuuziana pamoja na kubadilisha umiliki kisheria.
Tafadhali hakikisha kampuni haina scandal yeyote, deni lolote kwa mamlaka husika (i.e. TRA, Brela or any other authority) wala scandals.
asanteni
Kuna shughuli nataka kuifanya, yanipasa niwe na kampuni, kwa hivyo kama documents za kampuni yeyote ambayo uliregister brela na kwa bahati mbaya haikufanya kazi yeyote mpaka sasa tafadhali tuwasiliane ili tuangalie taratibu za kuuziana pamoja na kubadilisha umiliki kisheria.
Tafadhali hakikisha kampuni haina scandal yeyote, deni lolote kwa mamlaka husika (i.e. TRA, Brela or any other authority) wala scandals.
asanteni
Kampuni ya aina gani unataka nunua mkuu?
Mfano kama kuna kampuni ilisajiliwa ya sheria na consultancy halafu we unataka kufanya biashara lets say kwa mfano ya kuuza bidhaa kama nguo, meno ya tembo labda na kadhalika, si itakulazimu kubadilisha MEMARTS yote mkuu?
duh! yani meno ya tembo na TRA, TRA wanasajili!
Mimi nitakupa bure kabisa. 0754 300 880