Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,706
Una maanisha nini?
Wewe ndo huna uzoefu mkuu, hizo engine ni kuanzia milioni 8 nakendelea na hiyo ya 8 unakuta ilishafanyiwa na overhaul. Jipange hata na 10m sababu zina range m8 hadi 12 kwa engine nzuri.Una maanisha nini?
Kwanza mimi niliona bei juu? labda kama huna uzoefu na spear za Magari
Kashakujibu,hakuna engine ya 1hz mil 4 sijui ..... utaingia cha kikeWewe ndo huna uzoefu mkuu, hizo engine ni kuanzia milioni 8 nakendelea na hiyo ya 8 unakuta ilishafanyiwa na overhaul. Jipange hata na 10m sababu zina range m8 hadi 12 kwa engine nzuri.
Nasita kukwambia hiyo ya 4.5 unaweza kukuta hata imepigwa overhaul 3 nikiwa namaanisha inaweza ika inachemsha na kuka oil kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulikua unani quote mie au umekosea?Kashakujibu,hakuna engine ya 1hz mil 4 sijui ..... utaingia cha kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Nime kuquote ila namsaidia mleta uzi kwamba ushamjibu kwamba hakuna 1hz ya mil 4
Aaah okey sawa sawaNime kuquote ila namsaidia mleta uzi kwamba ushamjibu kwamba hakuna 1hz ya mil 4
Sent using Jamii Forums mobile app
gharama inakua kiasi gani ukiagiza?? natanguliza shukrani