Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba kwa pm au hapa.
Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba kwa pm au hapa.
Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba kwa pm au hapa.
Naomba msaada na mimi. Ofisi niliyokuwa nafanyia kazi zamani pale KISARAWE nao wanahitaji internet connection -unlimited. Nadhani kule hakuna TTCL broadband. What are other options?
Naomba msaada na mimi. Ofisi niliyokuwa nafanyia kazi zamani pale KISARAWE nao wanahitaji internet connection -unlimited. Nadhani kule hakuna TTCL broadband. What are other options?
Nitacheck nao ingawa pale Kisarawe wameshindwa kufanya huduma ya Easypesa kwa kuwa hakuna mtandao wa Zantel. Hata modem yao ya internet CDMA haifanyi kazi pale. Nashukuru nitafaitilia.