Mkuu unajua wanawake wengi siku hizi wanalalamika kupungua kwa nguvu za kiume kwa wapenzi wao yawezekana kiafya tatzo hamna ila kisaikolojia kujiamini kumepungua mno mpaka hata kutongoza imekuwa shida vijana saiz hawataki shida eti mitandao imerahisha yaani wanatamani hata akimkonyeza tu mwanamke akampe mchezo kwa wanawake wanaojiamni na wenye misimamo siyo rahisi kumpata kwa njia hii