Natafuta gari ya kununua aina ya Hiace

Natafuta gari ya kununua aina ya Hiace

malimi katoro

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2015
Posts
358
Reaction score
154
Wakuu nataka kuingia kwenye biashara ya usafirishaji hivyo natamani kuanza na hiace .

Bajeti yangu ni 13M
Hiace iwe katika hali nzuri' iwe ni manual na inayotumia diesel
 
+81 80 8392 6339 mcheki huyu jamaa yupo japan...anakutumia gari kutokana na budget yako...ni mwaminifu me ndonamtumiaga na atakupa ushauri pia...
 
Hiace ya 13M ? Nenda sehemu zenye usafiri wa Hiace nyingi kama Mwanza utapata...ila ujiandae kisaikolojia maana hiyo bei hesabu mtakuwa mnagawana na fundi, mara kwa mara.
 
Hiace ya 13M ? Nenda sehemu zenye usafiri wa Hiace nyingi kama Mwanza utapata...ila ujiandae kisaikolojia maana hiyo bei hesabu mtakuwa mnagawana na fundi, mara kwa mara.
Hapo jamaa anataka kununua usumbufu wa spana mkononi kila siku.
Na kama hatokuwa na hela nyingine ya akiba kwa akaunti yake gari italala juu ya mawe.
Atafute biashara nyingine hiyo haimfai.
Ni bora umiliki bajaji ambayo ni mpya kuliko kumiliki hiace ambayo ni chakavu itakuletea stress na faida haitoonekana
 
Wakuu nataka kuingia kwenye biashara ya usafirishaji hivyo natamani kuanza na hiace .

Bajeti yangu ni 13M
Hiace iwe katika hali nzuri' iwe ni manual na inayotumia diesel
13m hiace yenye hali nzuri au sio
 
Nikushauri ingia kkoo nunua bajaji yako mpyaaaa isajili ingia nayo barabarani vijiwe vingi havina kiingilio kikubwa piga kazi ila ukitaka hiace ya 13m dah ujiandae kisaikolojia maana utadata kabla ya mwaka kuisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom