msonganzila
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 204
- 106
Wadau natafuta gari Aina ya PROBOX iwe na Ubora tu siangalii namba bajeti yangu 5,5MILLION mwenye nayo karibu.....
Unataka kufuga kuku
Anamaanisha muundo wake ni mithili ya bandaHapana siyo ya kufugia kuku Boss ni kwa ajiri ya kutumia, kwani nini maana yako.....??

Hapana sio eti muundo wake ni mithili ya banda!! Ila sisi wafugaji kuku hii ndio gari yetu. Inapakia vema trei za mayai, pumba, tukitaka kula bata tunaenda car wash tu. Kisha tunafunga viyoo, kisha nawasha unyunyu ,kisha bata kwa kwenda mbele.
nimecheka sana kwa hii comment yakoUnataka kufuga kuku
Upo mkoa ganiGari ya ndoto yangu mkuu, kwanza ina nafasi nzuri ndani pili bodi yake ni ngumu tatu ulaji wake wa mafuta ni wa kawaida kabisa.
Upo mkoa ganWadau natafuta Gari Aina ya PROBOX iwe na Ubora tu siangalii namba bajeti yangu 5,5MILLION mwenye nayo karibu.....
ArushaUpo mkoa gani