Natafuta gari please...!

Mtaalam njaa, kuna vijana humu.. naona wanajitahid wakurambishe shubiri.... et ukanunue brevis wakat unalia vyuma vimekaza.. itakuua siku si zakoo... 1JZ itakutoa machoziii...

Katika gar ulizolist.... hapo gari ambazo ni rafik wa mtumiaji... ni premio... tena na yenyewe kuwa makin... kuna premio F,X,G...
Hapo nimezipanga kutokana na unywaji wake mafuta... ukipata F yenye mashine ya 1NZ utafurah sanaa....
Lakin pia IST ni gar nzuri sana... kwahyo kaz kwako kuchagua kati ya premio F na IST...
 
Brevis inakula sana mafuta achana nayo....hizo zingine sawa tuu
 
Nina BREVIS ina namba ya zambia BAE Kamaunataka ipo hapa hapa dar
 
ninalo la IST sema uko wapi tufanye biashara
 
Mkuu ushapona tatizo lako la koo?nami naumwa nateseka sana mkuu kama umepona nambie namba yngu hii0788442067

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…