Natafuta Gari ndogo

Natafuta Gari ndogo

Kajabwite

Member
Joined
Dec 17, 2020
Posts
9
Reaction score
7
Mimi ni Civil Technian nimejiajiri hapa mjini, kwa nature ya kazi yangu ninakuwa na mizunguko ya kukagua kazi zangu au kuwa na sites visit. Nahitaji gari dogo la kunisaidia kwenye mizunguko yangu.

Muda ninapokuwa free kwa siku au kutoka site moja kwenda ingine naweza kuifanya uber ndio maana nitapenda gari dogo na kwa mtu tutakubaliana terms za malipo kama za wanazowapa madereva wa uber japo kwa upande wangu atakuwa na uhakika wa malipo.

Mawasiliano DM au 0767248096
 
Unavyosema gari ndogo unamaanisha nini wewe civil? Gari zenye cc ndogo au zenye umbo dogo? Na pia ni lazima useme gari gani, Kama hujui unataka gari gani basi jua unakaribia KULIA
 
Unavyosema gari ndogo unamaanisha nini wewe civil? Gari zenye cc ndogo au zenye umbo dogo? Na pia ni lazima useme gari gani, Kama hujui unataka gari gani basi jua unakaribia KULIA

Gari ndogo jamii ya IST, Raumu, Vitz
 
Mimi ni Civil Technian nimejiajiri hapa mjini, kwa nature ya kazi yangu ninakuwa na mizunguko ya kukagua kazi zangu au kuwa na sites visit. Nahitaji gari dogo la kunisaidia kwenye mizunguko yangu. Muda ninapokuwa free kwa siku au kutoka site moja kwenda ingine naweza kuifanya uber ndio maana nitapenda gari dogo na kwa mtu tutakubaliana terms za malipo kama za wanazowapa madereva wa uber japo kwa upande wangu atakuwa na uhakika wa malipo.
Mawasiliano DM au 0767248096
Unatafuta ya kununua ama ya kukodi. Kama unatafuta ya kununua nikuuzie Spacio inauzwa bei 7.8m punguzo kidogo lipo. Kama uko interested kununua sema nikutumie picha. Gari liko vizuri halina tatizo lolote
 
Unatafuta ya kununua ama ya kukodi. Kama unatafuta ya kununua nikuuzie Spacio inauzwa bei 7.8m punguzo kidogo lipo. Kama uko interested kununua sema nikutumie picha. Gari liko vizuri halina tatizo lolote

Ya kukodi au ya mkataba
 
Ile gari its a true balanced car.. ikitokea kwenye kikao nyeti inaonekana upo serious, ukitokea kwa wagumu inaonekana nunda, ukitokea nayo site unaonekana mchagga au mpare.. ukitokea nayo Bushi unaonekana mzee wa vitu vya kudumu... Yaani popote Waah
Hii gari ina conforty ya aina yake, yaani hata ukiingia shimo kama bush, balljoint, reckhand vipo sawa husikii kitu
 
Back
Top Bottom