Yah huenda ikawa kweli ina shepu mbaya, si unajua tena mkuu uzuri wa kitu uko machoni kwa mtazamaji......
Vitz mie hainivutii kabisa ndio maana hata sijaitaja kabisa.
Racti..... Naipenda ila tatizo bei mkuu.
Asante sana kwa ushauri mkuu
Nakuunga mkono na mguu fancargo hapana Kuna jirani yangu hapa anako kana shape mbaya Kama ilivyo tactic nayo hapana kwa upande wangu lakini chagua Kati ya hizo alizokutajia mdau hapo juu hutojuta badas
Mimi nilinunua vits nilinuta baada ya miezi miwili tu baada ya kupakia mabonge watatu nilishindwa kupanda mlima mdogo tu mpaka nikawashusha nikapanda mwenyewe nikawasubiri kwa mbele