JF Marikiwe sana kwa hili la ku edit.Maana kazi ingekuwepo hapa.Pst mie zingekuwa za ubishi wa kukosoa.
Mkuu watakuja,ila kuwa makini sana.Na hakikisha unaona kazi zao walizofanya.
Laasivyo utaibuka na madalali wa mafundi.
Hii Ndio DSM
Ahsante kwa ushauri Mkuu
Ahsante amefanya muda mirefu Kama wapi.
Kweli we mjanja,maana unaruka vihunzi tu,hahaha.Ahsante,
Kwani portofolio si vizuri uiweke hapa ili utangaze pia biashara yako
Hapo sipati picha Pms zilivyojaa huko kibao.
Maana hili tender sio la kitoto.
Watazuka mafundi na madalali wa mafundi humohumo.
Maana mafundi wengi humu JF hawamo,sasa mtu anatoa tender humu anamtafuta fundi kisha anakula percent,sio mbaya lakini awe fundi wa kweli na uhakika.
fundi rangi ninae anafanya kazi nyingi sana na nzuri nipigie nikuunganishe nae. my no 0753505115.
Garden designer nipo hapa,kwa maelezo zaidi namba zangu zipo kwenye kila post yanguNinaweza kupata mawasiliano ya mafundi wa finishing ya nyumba Kama ifuatavyo :-
1. Gypsum designer
2. Paint designer/skimming
3. Tiles
4. Garden designer
5. House decorater
Ahsante.