Habari ndugu mwana jamiiforum.
Natafuta fundi mzuri wa tiles aliyeko maeneo ya Dar. Kama unamfahamu au ni wewe tafadhali nitumie PM.
Zingatia sana lazima uwe umefanya kazi safi na unavifaa vyote muhimu vya kutendea kazi.
Habari ndugu mwana jamiiforum.
Natafuta fundi mzuri wa tiles aliyeko maeneo ya Dar. Kama unamfahamu au ni wewe tafadhali nitumie PM.
Zingatia sana lazima uwe umefanya kazi safi na unavifaa vyote muhimu vya kutendea kazi.