Natafuta friji kubwa

Natafuta friji kubwa

Yamin619

Member
Joined
Jun 7, 2016
Posts
10
Reaction score
3
Habari wakuu mbali mbali,

Nina kabiashara nataka kukaanza kuuza chipsi.
Natafuta friji kubwa la kuweka soda na maji.

Mwenye nalo aniPM
 
wewe ukowapi 1 unataka kununua au upewe bure jeeleze ueleweke vyema
 
Ipo samsumg kubwa itakufaa kwa biashara yako ipo npm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom