mkwawa complex
Senior Member
- Dec 15, 2016
- 183
- 150
Natafuta Frem ya biashara Eneo la (1)Mwenge kwa kuuzia bidhaa mchanganyiko za matumizi ya nyumbani(bidhaa za vyakula).Liwe ule mtaa ambao uko busy"kuanzia ilipo AZANIA BANK KUJA HADI ILIPOKUWA AZAM".FREM IWE IME-FACE BARABARA YANAKOPITA DALADALA ZA MAKUMBUSHO-GEREZANI KUPITIA MABIBO.
(2)PIA ENEO LA TGETA KWA NDEVU(STAND).IWE ILE SEHEMU ILIYO BUSY,stand ya daladala unapotaka kuelekea mjini.Pia hiyo fremu iface barabara kuu((hasa pale penye frame za mabucha mengi).KUHUSU BEI,ni Maelewano.
CONTACTS:0682-770 346
(2)PIA ENEO LA TGETA KWA NDEVU(STAND).IWE ILE SEHEMU ILIYO BUSY,stand ya daladala unapotaka kuelekea mjini.Pia hiyo fremu iface barabara kuu((hasa pale penye frame za mabucha mengi).KUHUSU BEI,ni Maelewano.
CONTACTS:0682-770 346