Natafuta frame ya biashara

southernboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
904
Reaction score
1,105
Habari wakuu,nahitaji frame nitakayo weza kuweka biashara ya nguo za kike na za watoto maeneo ya Kigamboni, Mbagala au Mbezi, kama una namba ya dalali pia unaweza kunisaidia.

Pia eneo lolote lenye location nzuri na bajeti isiyozidi 100k kwa mwezi naomba mawasiliano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…