Poa kaka, kabla sijamtafuta naomba nikuulize swali. Hizi zinaweza kutoa Quality photos? Maana nahitaji kwa ajili ya kutengenezea matangazo, bronchures, passport size ana kazi nyingine za makampuni ambazo zinahitaji high quality printing.
Poa kaka, kabla sijamtafuta naomba nikuulize swali. Hizi zinaweza kutoa Quality photos? Maana nahitaji kwa ajili ya kutengenezea matangazo, bronchures, passport size ana kazi nyingine za makampuni ambazo zinahitaji high quality printing.
Wakuu mi nisaidien nna Epson Xp600 inatumia cartride 6 Niliinunua nakuitumia kdogo tu wino ukaisha nlipotafuta wno wake sikupata so nkarefil lakn inakataa na kuonesha 'ink error'
Mm nauza pia ciss (ext.tank)za P50/T50/1410/Px660/Px720/Px800/Xp 600/na Sx series.
Pia ink kuanzia ml100/250/500/1000mls.
Spear pia nnazo km printhead za T50/P50/L800/1410/px660/px720/px820.
Motherboad za p50/1410
Nimefurahishwa na post za wachangiaji wote hapo juu hongereni sana naamini na mimi nitafanikiwa. nahitaji Laserjet 1005 kwa mwenye nayo anipm tufanye biashara.
Epson px660 is the best photo printer ever. lakini kuipata ndio mziki niliitafuta sana nikakosa. dukani utapata L800, L200 etc etc. ila nakushauri uchukue L800 ina uwezo wa ku Print CD na pia ina cartridge 6.
1) Nina Epson Styplus Photo PX660 nauza iko Arusha. Namuhitaji mnunuzi wa haraka
2) Ninauza pia Photocopier ya Canon IR2202
Zote mbili hazijatumika sana