EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,189
- 20,637
Habari za jioni wadau poleni na majukumu.Mimi naomba kujuzwa maduka yanayouza pamba kali na original.Sitaki nguo mdosho ambazo zimezagaa kila mtu anayo mtaani.Pia nilikuwa naulizia ninapoweza kupata boot original za Timberland sio haya feki wanayovaa mabrothermen mtaani ambayo ukiyavaa mwezi tu yamechanika.Kwa kifupi nataka niyajue maduka yanayouza jeans,boots,mashati na Jackets za ukweli kwa hapa dar.Kwa upande wa boots nataka boot kama hilo hapo chini