Yohana Yared
Member
- Apr 8, 2017
- 9
- 1
Niko dar karibu sana
Habari wanajukwaa,
Fursa natafuta dereva mwenye uzoefu wa kutosha nina gari aina ya Noah aje nimpe aniletee hesabu kwa siku 40,000. Au kama una hotel, shule, kampuni wanaohitaji gari aina ya Noah njoo tuongee.
Mawasiliano: 0764888544 or 0714808918
Uber xl inafanya uwa zinakazi sana Noah kama utapata dereva mzoefu wa biashara za magari nenda airport pale kuna jamaa wanafunga siku na mpaka laki tatuHiyo Noah itakuwa inafanya shughuli gani ya kuleta 40K per day?
Airport kupata kijiwe s mchezoUber xl inafanya uwa zinakazi sana Noah kama utapata dereva mzoefu wa biashara za magari nenda airport pale kuna jamaa wanafunga siku na mpaka laki tatu
Uber xl inafanya uwa zinakazi sana Noah kama utapata dereva mzoefu wa biashara za magari nenda airport pale kuna jamaa wanafunga siku na mpaka laki tatu
Ndomaan nikasema ukipata mtu mzoefu na izo Noah ndugu hiyo ni ngumu ata kwangu lakini wapo watu wanauzoefu na nikakutolea mfano hapo airport kuna watu nawafahamu wanafanya kazi na izo gari na kwamadai yao wanaingiza iyo pesa japokua sio kila siku ila Mimi natafuta ninayoiweza ambayo nnauzoefu nayo sio Noahhahahah hii inaonesha wazi unaelezea kitu kwa kusikia kwa watu yaani kuambiwa xaaa mkuu kama unajua Airpot wanalaza mpaka laki 3 na unatafta gari kaka kwann usichukue hahaha naww ukalaze laki 3 pale Airpot
any way natania kaka kaz ya gar kubwa ngum na hapo Airpot connection yake xio ya kitoto kupata kijiwe utaambiwa mpaka milion kama huamin nenda
Kariakoo
Ninazo ila zina madereva tayari
Wanaomiliki magari na wanaofanya biashara za magari wanaelewa ukiona kitu hujakielewa ujue hakikua kwaajili yako subiri fursa yako 💫🙏Hiyo Noah itakuwa inafanya shughuli gani ya kuleta 40K per day?
40,000 mkuu mbili zishachukuliwa tayari imebaki moja