NATAFUTA CHUO

Gendaheka

Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
31
Reaction score
15
Habari wana JF najua hapa kuna wajuzi wa mambo mengi sasa mada yangu ni hii mimi kijana mwenzenu ninahitaji chuo kinachotoa basic certificate ya business administration kilichopo hapa Arusha mimi ni mgeni huku hivyo sijavijua vyuo kwa upande huu hivyo naombeni mnisaidie katika hilo wakuu pia kingine ni kwamba sina cheti kizuri cha Form four je naweza kupokelewa hivyo hivyo nilivyo na nikapigwa foundation course then niendelee mbele wakuu nia yangu ni kusoma hiyo course then ikiwezekana niende diploma ili niweze kufanya biashara zangu kiujuzi na kwa utaalamu mzuri zaidi.
NAWASILISHA WAKUU
 
mbona ka wataka kupoteza hela zako bureee? ka wajua cheti kibovu usitake short cut fanya kukisafisha ili upate foundation iliyo nzuri ambayo hata mbeleni hutokwama,
 
Unaweza kunifafanulia kiundani zaidi mkuu juu ya hiyo kozi ninayoitaka naweza kuipata hapo UDOM then na vigezo vyangu kama nilivyoelezea kwenye Uzi wangu wanaweza kunipokea?
 
mbona ka wataka kupoteza hela zako bureee? ka wajua cheti kibovu usitake short cut fanya kukisafisha ili upate foundation iliyo nzuri ambayo hata mbeleni hutokwama,
Target yangu sio ajira mkuu ila target yangu ni yale maarifa yanayotolewa huko chuoni mkuu wangu hata nikichukua certificate nikaona maarifa yananitosha basi nitaishia hapo sababu target yangu ni kuwa business owner Sasa huwezi ukaendesha biashara kienyeji itaishia kufa tu sasa hata kama una akiri za kuzaliwa nazo hata kama ni mjuzi wa elimu mtaani kuhusu biashara lakini ukipata maarifa ya huko chuoni yatanisaidia sana najua umuhimu wa cheti cha Form four lazma kiwe safi unapokuja kwenye swala zima la ajira lakini mimi silengi kwenye ajira mkuu naombeni msaada wenu wakuu.
ASANTE
 
naelewa mkuu ila waonaje ukisoma alafu ukifika katikati alafu akakufukuza wakasema huna vigezo japo walikupa kubali wao kusoma? ila si mbaya hebu nenda hapo makumira,mount meru au chuo cha uhasibu arusha nadhani utapata majibu au uangangalie kwenye site zao nadhani watakuwa na course wanazoto
 
Naomba website zao kiongozi wangu kama unazo nizipitie kama nitapata namba zao au nikikosa nitaenda straight forward ofisini.
ASANTE
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…