Natafuta chumba TAZARA

Natafuta chumba TAZARA

lizy377

Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
13
Reaction score
2
Room inahitajika tazara au maeneo jiran iwe na maji,na iwe ndani ya geti.kwa gharama isiyozid 70000 nnyumba isiwe na wapangaji wengi
 
Room inahitajika tazara iwe na maji,na iwe ndani ya geti.kwa gharama isiyozid 70000 Awepo mwenye nyumba
....masharti mengine bhana;watu hawataki kukaa na wenye nyumba kuepuka kero,
...wewe wataka kujitongozesha uwe wakaa bure?
 
he he he hivi tazara kuna nyumba za kupanga kweli????
 
kuna chumba tazara ya kuondoka kesho kwenda kapilimposhi kama hutojari be my guest
 
Namaanisha nyumba awepo muhusika sitak nyumba yenye wapangaji wengi
....hapo kwenye wapangaji wengi ndo umesomeka maana uwepo wa mwenye nyumba hauguarantee kuwa na wapangaji wachache;
...aweza kuwepo na akawa na familia kubwa vile vile
...anyway,kila la heri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom