Yeyote mwenye taarifa ya chumba single maeneo hayo magomeni mikumi anijuze, kodi isizidi 40,000/- kwa mwezi.
He kumbe wote tunaota,tangu mwaka jana,si mpangaji mwenyewe kaishapata mtoto kwenye chumba kipya?
We CYBERTEQ na mwenzio vipi,hembu kalale tena,sio mnaweweseka