Mkuu, kuna chumba self contained kipo kisota 7km toka feri chumba kisebule jiko na choo. Umeme na majIJamani ndugu zangu mi ni mgeni hapa mjini natafuta chumba ambacho ni self Contained , kiwe maeneo ya Mji Mwema , Mikadi , Maweni chadibwa ilmradi kiwe along barabara ya kigamboni to Mji Mwema, ni hayo tu ndugu zangu ,kama unacho naomba uni PM.
Jamani ndugu zangu mi ni mgeni hapa mjini natafuta chumba ambacho ni self Contained , kiwe maeneo ya Mji Mwema , Mikadi , Maweni chadibwa ilmradi kiwe along barabara ya kigamboni to Mji Mwema, ni hayo tu ndugu zangu ,kama unacho naomba uni PM.
Mkuu umenigusa hata mimi nahitaji lakini atleast kuwe na geti kwani nataka kulaza gari je eneo lipo
Mkuu gate lipo ila kuna sehemu ya kupark gari na hua na park gari langu
Jamani ndugu zangu mi ni mgeni hapa mjini natafuta chumba ambacho ni self Contained , kiwe maeneo ya Mji Mwema , Mikadi , Maweni chadibwa ilmradi kiwe along barabara ya kigamboni to Mji Mwema, ni hayo tu ndugu zangu ,kama unacho naomba uni PM.
Baadhi ya vyumba vimeachiwa mwenye kuhitaji aje tuelewane namba yangu 0687672672.
Karibuni