Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Habari za leo wanajukwaa?. Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Buguruni, kuanzia Buguruni sheli, Rozana, Malapa, hadi Msaada Gereji. Bajeti yangu ni 30,000/= nyumba uwe na maji na umeme. Asanteni. (Msaada tu, sina hela ya kulipa dalali).
