Natafuta chumba cha kupanga Buguruni

Natafuta chumba cha kupanga Buguruni

Finder boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
608
Reaction score
150
Habari za leo wanajukwaa?. Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Buguruni, kuanzia Buguruni sheli, Rozana, Malapa, hadi Msaada Gereji. Bajeti yangu ni 30,000/= nyumba uwe na maji na umeme. Asanteni. (Msaada tu, sina hela ya kulipa dalali).
 
Habari za leo wanajukwaa?. Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Buguruni, kuanzia Buguruni sheli, Rozana, Malapa, hadi Msaada Gereji. Bajeti yangu ni 30,000/= nyumba uwe na maji na umeme. Asanteni. (Msaada tu, sina hela ya kulipa dalali).
Kamanda sasa kama huna hela ya dalali utapataje
 
Kamanda sasa kama huna hela ya dalali utapataje
Nitapata kupitia msamaria mwema ambaye ataamua kunisaidia akijua kuwa watu hatulingani vipato. Ni kama msaada tu, tujifunze kutoa msaada, hata Mimi niliwahi kuwa dalali katika mkoa mmoja wa kusini, kuna muda nilikuwa natoa tu msaada.
 
Nitapata kupitia msamaria mwema ambaye ataamua kunisaidia akijua kuwa watu hatulingani vipato. Ni kama msaada tu, tujifunze kutoa msaada, hata Mimi niliwahi kuwa dalali katika mkoa mmoja wa kusini, kuna muda nilikuwa natoa tu msaada.
Tumia fani yako ya udalali sasa, unakwama wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom