Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 996 Sep 4, 2012 #1 Habari wanajamvi Jamani mwenzenu natafuta mojawapo ya camera hizi: canon D1100 au Sony 5100 nahitaji ya bei ya chini kadri iwezekanavyo ila mpya.
Habari wanajamvi Jamani mwenzenu natafuta mojawapo ya camera hizi: canon D1100 au Sony 5100 nahitaji ya bei ya chini kadri iwezekanavyo ila mpya.
A Akiri JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,445 Reaction score 217 Sep 5, 2012 #2 mi ninayo sony
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 996 Sep 5, 2012 Thread starter #3 Akiri said: mi ninayo sony Click to expand... Ni bei gani unaiuza?
G12 Senior Member Joined Aug 31, 2012 Posts 156 Reaction score 51 Sep 5, 2012 #4 Nicheki kwa info@g12.hk , bei maelewano.
Buggy JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 236 Reaction score 61 Sep 5, 2012 #5 mimi ninayo cano d3100
M MOSHIZZLE Member Joined Feb 17, 2010 Posts 79 Reaction score 11 Sep 5, 2012 #6 fadhili paulo said: habari wanajamvi jamani mwenzenu natafuta mojawapo ya camera hizi: canon d1100 au sony 5100 nahitaji ya bei ya chini kadri iwezekanavyo ila mpya. Click to expand... 900,000tsh nitakupa complete mpya.
fadhili paulo said: habari wanajamvi jamani mwenzenu natafuta mojawapo ya camera hizi: canon d1100 au sony 5100 nahitaji ya bei ya chini kadri iwezekanavyo ila mpya. Click to expand... 900,000tsh nitakupa complete mpya.
TMAN8 Senior Member Joined May 25, 2012 Posts 165 Reaction score 41 Sep 5, 2012 #7 kaka una uhakika na unachoandika? Sony 5100?! Hiyo ni taa, tena inaitwa sony xl 5100.
A Akiri JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,445 Reaction score 217 Sep 6, 2012 #8 fadhili paulo said: Ni bei gani unaiuza? Click to expand... laki 2. maongezi hakuna.
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 996 Sep 6, 2012 Thread starter #9 Akiri said: laki 2. maongezi hakuna. Click to expand... Hakuna shida kama hakuna maongezi. Niwekee picha tu basi.
Akiri said: laki 2. maongezi hakuna. Click to expand... Hakuna shida kama hakuna maongezi. Niwekee picha tu basi.
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,966 Reaction score 16,019 Sep 6, 2012 #10 fadhili paulo said: Hakuna shida kama hakuna maongezi. Niwekee picha tu basi. Click to expand... mmmh,sijui ataipigaje!!au camera inaweza kujipiga picha!
fadhili paulo said: Hakuna shida kama hakuna maongezi. Niwekee picha tu basi. Click to expand... mmmh,sijui ataipigaje!!au camera inaweza kujipiga picha!
A Akiri JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,445 Reaction score 217 Sep 6, 2012 #11 fadhili paulo said: Hakuna shida kama hakuna maongezi. Niwekee picha tu basi. Click to expand... we kweli juha
fadhili paulo said: Hakuna shida kama hakuna maongezi. Niwekee picha tu basi. Click to expand... we kweli juha
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 996 Sep 7, 2012 Thread starter #12 Zamaulid said: mmmh,sijui ataipigaje!!au camera inaweza kujipiga picha! Click to expand... Nataka picha ya hiyo camera, walioitengeneza walishaipiga zaidi mara milioni, we wa wapi?
Zamaulid said: mmmh,sijui ataipigaje!!au camera inaweza kujipiga picha! Click to expand... Nataka picha ya hiyo camera, walioitengeneza walishaipiga zaidi mara milioni, we wa wapi?
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 996 Sep 7, 2012 Thread starter #13 Akiri said: we kweli juha Click to expand... Usinitafutie ban isiyo na sababu, ujuha wangu upo wangu unakujaje hapa? attach picha ya hiyo camera unayotaka kuniuzia shida ipo wapi?
Akiri said: we kweli juha Click to expand... Usinitafutie ban isiyo na sababu, ujuha wangu upo wangu unakujaje hapa? attach picha ya hiyo camera unayotaka kuniuzia shida ipo wapi?
A Akiri JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,445 Reaction score 217 Sep 8, 2012 #14 fadhili paulo said: Usinitafutie ban isiyo na sababu, ujuha wangu upo wangu unakujaje hapa? attach picha ya hiyo camera unayotaka kuniuzia shida ipo wapi? Click to expand... ha!ha! pole mkuu sasa nimeshindwa kuipiga picha kama uko dar njoo hapa kino kwa manyanya uione nipigie 0657145555
fadhili paulo said: Usinitafutie ban isiyo na sababu, ujuha wangu upo wangu unakujaje hapa? attach picha ya hiyo camera unayotaka kuniuzia shida ipo wapi? Click to expand... ha!ha! pole mkuu sasa nimeshindwa kuipiga picha kama uko dar njoo hapa kino kwa manyanya uione nipigie 0657145555
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 996 Sep 9, 2012 Thread starter #15 Akiri said: ha!ha! pole mkuu sasa nimeshindwa kuipiga picha kama uko dar njoo hapa kino kwa manyanya uione nipigie 0657145555 Click to expand... Powa, nitapita kesho kama saa kumi hivi jioni, ila katika kituo cha daladala cha manyanya, sawa mkuu?. nitakutumia sms kabla.
Akiri said: ha!ha! pole mkuu sasa nimeshindwa kuipiga picha kama uko dar njoo hapa kino kwa manyanya uione nipigie 0657145555 Click to expand... Powa, nitapita kesho kama saa kumi hivi jioni, ila katika kituo cha daladala cha manyanya, sawa mkuu?. nitakutumia sms kabla.