mkuu mwenyewe
Member
- Nov 23, 2013
- 22
- 1
Cal me 0714064767 if u are serious for loan
unataka kumpeleka bank?
habarini wandugu? miezi michache iliyopita nilianza mchakato wa kuanzisha biashara ya bakery. Cha kwanza nilinunua Mixer mashine (for cakes) kubwa ya lita 20, kisha nikafanya ujenzi wa eneo la mradi ambapo yamebakia matengenezo macheche sana.nature ya biashara itakuwa ni kutengeneza na kusupply cakes kwa wateja niliowatarget . pia nina uzoefu na nimesomea mambo ya baking, kwasasa wakuu nimeshindwa kwasababu uwezo wa fedha ya kununulia oven na startup cost nimekwama.Kwa aliye tayari tufanye pamoja anakaribishwa au kwa mtu yeyote mwenye utayari kuwekeza fedha baada ya miezi 3 hadi 6 fedha nikamrudishia kwa interest na agreement namkaribisha.Fedha inayohitajika ni 5 mill.Kwa maelezo zaidi about business, profitability etc PM or contact ubakery@yahoo.com. thanks
Najua umeweka post kwa ajili ya kupata msaada lakini kama ulivyojieleza ulikuwa banker hivi umeshindwa kutumia knowledge,uzoefu na hata contct za bank kupata mkopo ila sina nia mbaya ni ushauri tu
Najua umeweka post kwa ajili ya kupata msaada lakini kama ulivyojieleza ulikuwa banker hivi umeshindwa kutumia knowledge,uzoefu na hata contct za bank kupata mkopo ila sina nia mbaya ni ushauri tu
Najua umeweka post kwa ajili ya kupata msaada lakini kama ulivyojieleza ulikuwa banker hivi umeshindwa kutumia knowledge,uzoefu na hata contct za bank kupata mkopo ila sina nia mbaya ni ushauri tu
... pia nina uzoefu na nimesomea mambo ya baking, kwasasa wakuu nimeshindwa kwasababu uwezo wa fedha ya kununulia oven na startup cost nimekwama.............
Najua umeweka post kwa ajili ya kupata msaada lakini kama ulivyojieleza ulikuwa banker hivi umeshindwa kutumia knowledge,uzoefu na hata contct za bank kupata mkopo ila sina nia mbaya ni ushauri tu
Tupe feedback mleta mada kama umeshapata mkopo au la
Jamani mdau hajasema alikuwa banker ila amesema amepitia mafunzo ya baking (uokaji). Tuwe tunasoma vizuri kabla ya kucoment.
Bado mkuu sijapata mkopo...