Natafuta Bucha ya kukodi

Natafuta Bucha ya kukodi

Loveeness78

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
280
Reaction score
294
Habari za kazi wakuu,

Natafuta Butcher ya kukodi jijini Dar es Saalam, kwa yeyote anaeweza kunisaidia kwa namna moja au nyingine namkaribisha tafadhari.

Butcha inaweza kuwa mtaa wowote, naona itanifaa tu.

Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom