Natafuta Boyfriend seriously

Hapo kwelnye elimu inahitajika clarification maana elimu ya chuo inaweza kuwa chuo kikuu, taasisi za elimu za juu, chuo cha VETA, au vyuo vya diploma au certificate, embu clarify ili kupunguza jam ya wewe kufanya sorting
 
Ahahaha haya tena naona ungeweka kabisa vyeti vyako hapa na picha mana hii biashara ngumu bwana
kama mbuzi kwenye gunia hivi
 

sasa dini inahusiana nini na uzinzi wako??? wewe shida yako si kuzini yaani upate boyfriend ili mzini right,, ingekuwa mchumba sawa dini muhimu lakini zinaa aka uzinzi dini hapo kigezo umechemka dada angu
 
natuma application kwako Mammy22! sijui tutakuwa wangapi maana nataka nijiandae kwa interview!
 
Mshahara pls
 
Naomba uni pm, kwani kuna sifa zote ninazo. Ila ucwe mweusi sana au mwenye michiriz kwenye mapaja
 
Weka picha? Ama una sura mbayaaaaaaaaa? Weka picha binti tuone mgongo .
 
Usijali...ila nawe ungeliweka sifa zako chache kama elimu, muonekano n.k ili kurahisisha ombi lako...

watu8 una lako jambo,si bure.......ukiendelea ntakusemea kwa.........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…