Natafuta ajira

Nipo dar es salaam, natafuta ajira/kazi ya kuniingizia kipato, nina uzoefu wa kuisimamia restaurant, barman, office assistant (messenger), cashier, ama kazi yoyote ile.... hata ya kiwandani 0679222414
 
mzeesam
Mwamba uza pumbu za mbuzi jioni kwenye njia panda au stand ya daladala.
Utanishukuru.
Ukilipwa laki 3 na utumikishwe masaa 13 kwa siku utakuwa fukara zaidi.
Biashara ya pumbu za mbuzi kwa siku hukosi faida ya 40-70
Kazi za pdf hizo mkuu, ni rahisi kupata faida hiyo ukiwa wewe huifanyi.
 
Nipo dar es salaam, natafuta ajira/kazi ya kuniingizia kipato, nina uzoefu wa kuisimamia restaurant, barman, office assistant (messenger), cashier, ama kazi yoyote ile.... hata ya kiwandani 0679222414
Utaweza kubandika mabango? Bango za wakala kila bango dogo 300 kubwa 500
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…