Ushauri wangu ni huu; hata ukipata sehemu yenye kamshahara kadogo, ka laki na nusu! Nenda kapambane.Hiyo nisawa baba katika utafutaji na shukurupia kwa ushauli wako asante
Amna umetumia lugha nzuri tu kama mzazi natumaini kufanya hivyo endapo nitapata kaziUshauri wangu ni huu; hata ukipata sehemu yenye kamshahara kadogo, ka laki na nusu! Nenda kapambane.
Maana ukifanya kazi kwa bidii na weredi, mapato yakiongezeka! Na mshahara wako nao utaongezeka. Siyo lazima sana uanze kazi na mshahara mkubwa.
Uniwie tu radhi kama nilitumia lugha kali.
SawaKazi umepata nichek pm yangu kwa maelezo zaidi.
mapato yakiongezeka! Na mshahara wako nao utaongezeka.
Njooo nikufundishe forex utanishukuruHabari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana wakike, nina umri 23, elimu yangu ni kidato cha nne, nina diploma ya Secretary, natafuta kati ya kazi hizi zifuatazo.
Secretary
Duka lolote
Reception
Costumer care
wakala wa miamala mbalimbali
Ninauzoefu wa kufanya kazi mbalimbali sehemu tofauti kwa kujitolea, hivyo basi nahitaji kupata ajira kwasasa, nipo vizuri.
Nipo Dar es salaam mbezi (kimara).
Naomba ni PM kwa maelezo zaidi.
Asanteni.
Asante kwa ushauli kakaAkituma Dume hayo maombi.. mnakaushia ila kwa mtt wa kike mnajifanya ( CHECK PM).. haya bhana
.
Dada kuwa makini.. kuna mafisi yatakuj PM kimkakati.
Asànte sanaKila la kheri...
Mkuu vijana wa kujitolea tupo tupeane nafasiTatizo lenu nyinyi ni kupenda mishahara ya kuanzia laki 2 kwenda juu, huku viofisi vyetu vyenyewe vikiwa bado vinasuasua kujiendesha.
Mwisho wa siku unakuta tunaamua tu kuwaweka ndugu zetu ili tuwalipe viposho tu vya hapa na pale.
Hii mmeikaushia.... wanaume tupeane fursa sis tuna majukumu mengi ukiachan na hao kina dadaMkuu vijana wa kujitolea tupo tupeane nafasi
Nimecheka Sana Lakini ni idea PouwaNjooo nikufundishe forex utanishukuru