Ohoo, na hiyo unayoikwepa ndio ina urahisi ukilinganisha na nyingine.Kazi yoyote mkuu isipokuwa house girl
Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24. Na si mrembo tu bali ni mchapakazi sana na mwepesi wa kuelewa kitu, na napenda kujifunza pia. Elimu yangu ni ya kidato cha4, Naongea vizuri lugha ya kingereza na kiswahili. Na ni mkazi wa Dar-es-salaam.
Please wakuu naombeni connection za kazi, Nashida sana ya kazi na Mungu awabariki wote.
NashukuruView attachment 2049162
Jaribu kutuma maombi kwenye hizi nafasi.....naamini urembo wako utakubeba na utapata nafasi
Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24. Na si mrembo tu bali ni mchapakazi sana na mwepesi wa kuelewa kitu, na napenda kujifunza pia. Elimu yangu ni ya kidato cha4, Naongea vizuri lugha ya kingereza na kiswahili. Na ni mkazi wa Dar-es-salaam.
Please wakuu naombeni connection za kazi, Nashida sana ya kazi na Mungu awabariki wote.
Mchaga kwa miamala ya pesa tena yupo vizuri. All the best mrembo.Muislam
Mchaga
Ndio nitaweza
Nipe WhatsApp namba yako PMMimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24. Na si mrembo tu bali ni mchapakazi sana na mwepesi wa kuelewa kitu, na napenda kujifunza pia. Elimu yangu ni ya kidato cha4, Naongea vizuri lugha ya kingereza na kiswahili. Na ni mkazi wa Dar-es-salaam.
Please wakuu naombeni connection za kazi, Nashida sana ya kazi na Mungu awabariki wote.