Habarini za sasa wakuu. Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nimemaliza shahada yangu udsm katika fani ya kilimo, mali asili, uchumi na biashara mwaka huu. Nimekuja kwenu kuomba msaada wa yoyote atakae kuwa na connection au sehemu nayoweza kujishika kwa muda anisaidie
Sifa zangu
>Ninaelimu ya kuendeleza biashara haswa ya kilimo ila kwa sasa yoyote naweza fanya
>nina ufahamu mzuri wa Microsoft package zote, quick books na Tally
> ufahamu wa SPPS na STATA kwa ukusanyaji wa takwimu
>Customer care support pia nina uzoefu nao
Ikiambatana na elimu ya masoko na mauzo
>uwezo wa kufindisha na kutrain vikundi mbali mbali juu ya biashara na mauzo
>Utafiti katika mitandao (online research) na utafiti wa aina yoyote naweza fanya
Izo ni baadhi ya sifa zangu ila naweza kufanya mengi tofauti na hayo niliyo oredhesha al muhimu ni kupata sehemu ya kujishika kwa muda ili niweze kujipanga vizuri
NOTE Ndoto zangu ni kuwa mjasiriamali ivyo nahitaji sehemu ya kuanzia tu kisha ntaendelea mwenye
Kwa kazi yoyote ya halali niko tayari wakuu napatikana Dar es Salaam
Ahsante sana
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nimemaliza shahada yangu udsm katika fani ya kilimo, mali asili, uchumi na biashara mwaka huu. Nimekuja kwenu kuomba msaada wa yoyote atakae kuwa na connection au sehemu nayoweza kujishika kwa muda anisaidie
Sifa zangu
>Ninaelimu ya kuendeleza biashara haswa ya kilimo ila kwa sasa yoyote naweza fanya
>nina ufahamu mzuri wa Microsoft package zote, quick books na Tally
> ufahamu wa SPPS na STATA kwa ukusanyaji wa takwimu
>Customer care support pia nina uzoefu nao
Ikiambatana na elimu ya masoko na mauzo
>uwezo wa kufindisha na kutrain vikundi mbali mbali juu ya biashara na mauzo
>Utafiti katika mitandao (online research) na utafiti wa aina yoyote naweza fanya
Izo ni baadhi ya sifa zangu ila naweza kufanya mengi tofauti na hayo niliyo oredhesha al muhimu ni kupata sehemu ya kujishika kwa muda ili niweze kujipanga vizuri
NOTE Ndoto zangu ni kuwa mjasiriamali ivyo nahitaji sehemu ya kuanzia tu kisha ntaendelea mwenye
Kwa kazi yoyote ya halali niko tayari wakuu napatikana Dar es Salaam
Ahsante sana