Natafuta ajira wadau

Natafuta ajira wadau

samyz

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2015
Posts
589
Reaction score
311
wanajukwaa mimi elimu yangu ni certificate natafta kaz ya usimamizi wa kumbukumbu au records management niko tayar kufanya sehem yeyote naombeni msaada wenu asante.
 
kwa nini usiende kulima,kwan ni lazima kila mmoja aajiliwe,kajiajir mkuu kwenye kilimo,niPM nikusaidie kupata incentive za kilimo ambazo zinaweza kukusaidia kulima hata kiangaz
 
sawa kiongoz asante
 
kwa nini usiende kulima,kwan ni lazima kila mmoja aajiliwe,kajiajir mkuu kwenye kilimo,niPM nikusaidie kupata incentive za kilimo ambazo zinaweza kukusaidia kulima hata kiangaz

sawa mkuu asante
 
kama ni basic certificate rudi kasome ndugu yangu
 
Njoo zanzibar unaweza kupata kazi kuliko huko, hata hotel unaweza kupata Au chukuwa Diploma
 
mkuu pole ila hayo mambo alafu tena certificate daaa,,, kama unaipenda hiyo kazo basi anza kuulizia kwenye mashule hata za serikali zinahitaji sana watu wa masijala.
 
Jaribu bahati yako kwa kuomba pale MOI - Muhimbili. Wametangaza nafasi za ajira
 
I need 5 serious people in Dar to do business more info check me watsup or call through 0718 140915
 
wanajukwaa mimi elimu yangu ni certificate natafta kaz ya usimamizi wa kumbukumbu au records management niko tayar kufanya sehem yeyote naombeni msaada wenu asante.

nitafute 0768577654
 
Back
Top Bottom