Natafuta ajira front office

Ulifanikiwa?
 
Iko hivi hotel za posta masaki sijui kunduchi usiangalie ustar wa hotel sijui nyota tano sijui nyota ngapi azia kitafuta kariakoo toka anangalia na sehemu zingne usitafute kaz ya hotel kwa ustar wa hotel au nyota unafanya kaz kwa uhuru akuna gadhabu tofauti na mahotel makubwa nishidaah sana yaani asikuambie mtu azia kariakoo yapo mahotel kibao kisha angalia na sehemu zingne ila kupigia mahesabu mahotel ya posta sijui masak kunduchi uko utasota my dear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrs S. Maneno yako yamenifumbua macho hakika nikweli ngoja nianze manzese,Ubungo,Kariakoo Mungu ajalie

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…