NITIKE NDOSI
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 153
- 86
Jamani naombà msaada wa tiba ya huu ugonjwa kwani maumivi take niakali hata antipain zimenigomea. Huwa inamisumbua kwemye femar pamoja na paja na goti . kila Sawa nikitumia maumivu uayakati na uvimbe pia.
Hospitali walisema Nina tatizo la Clinic asteoarthritis
Hospitali walisema Nina tatizo la Clinic asteoarthritis