kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,241
- 1,749
Nilizaliwa Zanzibar (Kidimni) wazazi wangu wakiwa wenyeji wa bara Geita. Baadae nilikuja kusoma bara na kuhitimu shule ya Secondary Geita. Wazazi wangu waliamua kurudi walikozaliwa (bara Geita). Kila mara nikiwa huku bara nilitamani siku moja nifike nilikozaliwa ndipo nikakusanya nauli mwaka 2004 nikaenda Zanzibar kuzuru eneo nilikozaliwa!
(Kidimni). Nilipofika likaniijia wazo la kupata cheti changu cha kuzaliwa ofisi ya Mkuu wa wilaya Dunga ndipo nikafuata taratibu zote na nikakabidhiwa. Baada ya huu uchaguzi na kama nilivyokuwa namuomba mungu siku moja Seifu awe raisi ndipo naweza kuhamia kabisa Zanzibar.
Dalili nizionazo ni kubwa sana Maalimu kuongoza Zanzibar pamoja na mizegwe inatengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu na viongozi wa bara ili Sheini aendelee kuongoza. Endapo hili halitafanikiwa ni bora nizamie nchi zingine hadi pale Zanzibar na Tanzania bara zitakapokombolewa kutoka mikononi mwa CCM.
(Kidimni). Nilipofika likaniijia wazo la kupata cheti changu cha kuzaliwa ofisi ya Mkuu wa wilaya Dunga ndipo nikafuata taratibu zote na nikakabidhiwa. Baada ya huu uchaguzi na kama nilivyokuwa namuomba mungu siku moja Seifu awe raisi ndipo naweza kuhamia kabisa Zanzibar.
Dalili nizionazo ni kubwa sana Maalimu kuongoza Zanzibar pamoja na mizegwe inatengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu na viongozi wa bara ili Sheini aendelee kuongoza. Endapo hili halitafanikiwa ni bora nizamie nchi zingine hadi pale Zanzibar na Tanzania bara zitakapokombolewa kutoka mikononi mwa CCM.