Naskia raaaaaaaaahaaa!

Bishanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2008
Posts
15,321
Reaction score
10,077
jamani eh,we kama ni aseno na yanga fanya chap chap tukutane hapa mfaranyaki tufurahi, tusherekee,tugalagale.
Ps: mi niko na mama Kayai kwa hiyo Bebii usije.
 
Hahahahaha
pamoja B...
Huku kwa moromboo ni balaa mbaya kabisa, wamaasai wameleta na nyama ya mnyama kabisa, hahahaha
 
Kaka naja tuu hata kama Avator yangu ni ya darajani lkn Yanga bwana eti kampakata tena mchumba'ke Siiimba
 
Kaka naja tuu hata kama Avator yangu ni ya darajani lkn Yanga bwana eti kampakata tena mchumba'ke Siiimba
sio kumpakata tu,na ka mimba kadogo kashaingia,hahahahaaaaaa eh kidedea eeeeh kidedea...eeeh kidedea.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…