Nashindwa kutumia huawei E303 modem katika ubuntu 12.04 with 32 bit.

Nashindwa kutumia huawei E303 modem katika ubuntu 12.04 with 32 bit.

ZENITH

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
1,057
Reaction score
973
Mi ni mgeni katika matumizi ya hii os,naombeni msaada nifanyeje ili niweze kutumia modem yangu katika ubuntu 12.04?
Pia nitahitaji msaada jinsi ya ku-play mp4,RMVB,AVI na aina mbali mbali za movie formats katika ubuntu.Thanks in advance.
 
ok first of all unatakiwa kuplag modem yako then subiri kama sekunde 20 ili modem yako iwe detecten then fungua connection manager ipo upande wa kulia juu ukibonyeza utaonaimeandika mobile brodband then press hapo utapelekwa kuchagua nchi tafuta tanzania alafu chagua mtandao unaotumia then itajiconnect automatical alafu kwenye player weka cd then play anything my be mp4 itakuuliza uapdate mp4-plagin ikimaliza utaona automatic inaplay video yako
 
ok first of all unatakiwa kuplag modem yako then subiri kama sekunde 20 ili modem yako iwe detecten then fungua connection manager ipo upande wa kulia juu ukibonyeza utaonaimeandika mobile brodband then press hapo utapelekwa kuchagua nchi tafuta tanzania alafu chagua mtandao unaotumia then itajiconnect automatical alafu kwenye player weka cd then play anything my be mp4 itakuuliza uapdate mp4-plagin ikimaliza utaona automatic inaplay video yako
Thanks,Ngoja nijaribu.
 
ok first of all unatakiwa kuplag modem yako then subiri kama sekunde 20 ili modem yako iwe detecten then fungua connection manager ipo upande wa kulia juu ukibonyeza utaonaimeandika mobile brodband then press hapo utapelekwa kuchagua nchi tafuta tanzania alafu chagua mtandao unaotumia then itajiconnect automatical alafu kwenye player weka cd then play anything my be mp4 itakuuliza uapdate mp4-plagin ikimaliza utaona automatic inaplay video yako
Ooh!i don't know how to thank you,jifunze is everything to me.
 
ok kama imekubali kwani iyo ubuntu unatumia kama master os au dualboot?
 
ukitaka install codecs nyingi nenda kwenye ubuntu software center {https://apps.ubuntu.com/cat/} then search for ubuntu restricted extras and install. ukiinsall hiyo utaweza kuplay alot of audio and video format without problem, pia unaweza install other media player like vlc, smplayer, clementine kupitia hapo hapo kwenye software center
 
Hii ni dualboot pamoja na window 7,vipi kuna madhara yoyote?

hakuna tatizo lakini fanya nenda software center na fanya update ya software za ko then tafuta modem connection manager kwenye software center hii itakusaidia kuwa unatuma na sms na kuangalia matumizi yako ya internet kwa mb pia tembelea furums mbalimbali zinazozungumzia kuhusu ubuntu zitakusaidia pia endapo utakwama sehemu usisite kunifahamisha
 
hakuna tatizo lakini fanya nenda software center na fanya update ya software za ko then tafuta modem connection manager kwenye software center hii itakusaidia kuwa unatuma na sms na kuangalia matumizi yako ya internet kwa mb pia tembelea furums mbalimbali zinazozungumzia kuhusu ubuntu zitakusaidia pia endapo utakwama sehemu usisite kunifahamisha
Umetisha mkuu,ila unajua nini?mtihani wa mwisho kwa ubuntu ikikubali kuweka AUTOCAD 3D na ARCHICAD, window 7 tupatupa kule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom