Nash MC ana elimu gani?

mwenye Ngoma ya kuitwa Nalenga kichwani na Maalim ponda anitumie wakuu. Au album zake itakua njema zaidi
 
Mhadhiri Nash.

Long live maalim.

-Kaveli-
 
lyrically yupo vizuri, ila tatizo ni moja tu, nyimbo zake hazina ladha, hana flow nzuri.

Ili kuelewa kazi za Mhadhiri Nash unatakiwa usiruke ukurasa.

Fani yake ni elimu bahari. Jaribu kumsikiliza kwa umakili ili upate funzo.

Na laiti ungejua anapotokea, heshima ungemuongezea.

-Kaveli-
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…