Nash MC ana elimu gani?

Hip Hop ni uhalisia sio kujipamba kwa vya kuazima
 
kwa hiyo unasema nash hana swaga?
 
Naona anasifiwa sana kwa matumizi ya kiswahili lakini jina lake tu Nash Mc kuna neno la kingereza hapo,je hakuna kiswahili cha Emcee? Ili kithibitisha kwa vitendo hicho anachokihubiri kwa kuanza na jina lake!
MC ni kiswahili. Msema Chochote.
 

Asuke na nywele. Avae na suti pinki. Mahereni Makubwa. Ili apendwe na wanawake.
 
Usomi au kutokusoma hauendani sio kigezo cha mtu kuandika mashairi mazuei au mabaya ni kipaji tu

Hiv ulishawah kuchunguza elimu na uwezo wa kuandika mashairi alio nao Jay -z?
 
Naona anasifiwa sana kwa matumizi ya kiswahili lakini jina lake tu Nash Mc kuna neno la kingereza hapo,je hakuna kiswahili cha Emcee? Ili kithibitisha kwa vitendo hicho anachokihubiri kwa kuanza na jina lake!
Mc means mchenguaji na sio emcee's
 
Wewe ndo humjui, Nash anaalikwa maŕa nyingi Germañy kwenye matamasha
Ni msanii mswahili asilia...anayekwenda na miondoko ya hiphop, anajielewa na anaelewa anachokifanya. Ni balozi mzuri wa kiswahili
 
Ni msanii mswahili asilia...anayekwenda na miondoko ya hiphop, anajielewa na anaelewa anachokifanya. Ni balozi mzuri wa kiswahili
wasanii wanaojielewa Diamond, Kiba, Vanny, Zuchu, Nandy, Jux nk nk sio huyo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…