Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,191
Yanga Kigali
Simba Lusaka!
Tuombe heri.
Kwa sasa tunakamilisha tu vibali na matambiko, October kazi inaanza rasmi. Chuma itakuwa inalalia Kigoma mara 4 kwa wiki.
Sasa mji huo mimi ni mgeni. Naomba wanazi tupeane dondoo za mkoa huu kibiashara.
Pia kimakazi maeneo yapi yanafaa. Mitaa ipi ya kuwa nayo makini, wapi pa kutokutia miguu, bar zipi nzuri, wapi ni standard kupata huduma zetu, mitaa ipi classic, vijiwe bora vya kahawa ni vipi, wenyeji wa huko wanahulka zipi?
Tuhabarishane. Si vyema kuingia miji ya watu bila maelekezo.
Simba Lusaka!
Tuombe heri.
Kwa sasa tunakamilisha tu vibali na matambiko, October kazi inaanza rasmi. Chuma itakuwa inalalia Kigoma mara 4 kwa wiki.
Sasa mji huo mimi ni mgeni. Naomba wanazi tupeane dondoo za mkoa huu kibiashara.
Pia kimakazi maeneo yapi yanafaa. Mitaa ipi ya kuwa nayo makini, wapi pa kutokutia miguu, bar zipi nzuri, wapi ni standard kupata huduma zetu, mitaa ipi classic, vijiwe bora vya kahawa ni vipi, wenyeji wa huko wanahulka zipi?
Tuhabarishane. Si vyema kuingia miji ya watu bila maelekezo.