Continuesly! Tengu tenguaUnapinga nini wewe! Mwenye mamlaka ya kuteua ndio anamamlaka ya kukutengua,wewe unapinga nini au ulikua mnufaika wa ukuu wa Mkoa wake mrija umekatwa eeh. The president has just exercise his power legally. Any way pole
🤣🤣🤣🤣Aliyetoa ndie ametwaa!!
Anae lala na mama yako ndie baba yako
Hizi ni kanuni za kawaida kabisa wala hazihitaji mjadala
Bado DABMheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Waache waione NGONDOIGWA!!Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
ZILE BIA ZA BURE AMPATI TENAAA... LOHMheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Pia nahisi kuna tabia Kwa baadhi ya wakuu wa mikoa kujiona Rank moja na mawaziri kisa tuu wanaendeshwa na magari yanayofanana na payslips zao zinashabiana(according to one of the RCs). But wanasahau kwamba Waziri wa TAMISEMI (ambaye ni Jaffo Kwa SASA) ndie Boss wao.. Nahisi Walichukulia ushauri au maonyo yake kirahisi mno( Walimpuuza). Having the same appointing authority does not make you equal.Mkuu wa mkoa ndiye aliyetakiwa kuwaadhibu hao wakurugenzei waliokuwa hawamtii kwa kutumia njia mbalimbali alizonazo; kwa kushindwa kufanya hivyo, wote wamefeli leadership test.
Nyinyi watu kila kitu mnahusisha na dini, kwanini hamfikirii nje ya box ?Uongozi Wa Arusha ulikuwa na mgogoro mkubwa sana na waislam wa arusha, baada ya kumega eneo la msikiti mkuu wa arusha, waislam walitaka kuleta fujo siku ya idd wakatulizwa na viongoz wao, huu mgogoro ndio umewaondoa mkurugexzi na mkuuwake, wala sio maugomz yao
Masai hujui kuandika nenda ukagake arudi wee s mganga...CED NDO NINI ?Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Pia inategemea ngazi ya Halmashauri husika kwa Halmashauri ya Wilaya ataitwa DED kwa Halmashauri ya Manispaa ataitwa MED na kwa Halmashauri ya Jiji ataitwa CEDHapana anaitwa CEO
Who are you by the way.
Unaonekana familia yenu ina asiri ya uchawi ndomana una roho mbaya kwahy madeleva wetu wanavyokonolewa kwenye pua kwako raha hahahJiwe kafanya vizuri sana, sasa tumebaki na kalio moja linaitwa Bashite, na lile kalio lililosema watu wasioenda msibani wafungwe, na tako jingine lile linalosema madereva wa Tanzania wasipimwe Kenya utadhani kawa rais wa Kenya. Akifukuza hao labda kura yangu atapata
CEO wa nokho!Hapana anaitwa CEO