Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Ningependa kama ambavyo mtu anakuwa makini juu ya simu yake, akisahau ndani tu haraka anakumbuka na kurudia, iwe hivyo hivyo juu ya BIBLIA zetu. Siku zikipatikana BIBLIA ndogo za kuweka mfukoni unatembea nayo kama tutembeavyo na simu na iwe na agano jipya na agano la kale. Mtu ukiisahau ndani tu, haraka sana unairudia, siku hiyo itakuwa siku nzuri sana.
Mungu apishe mbaliiiii! hahahahahaha
dah sipat picha itakuwajeeeeee
natamani siku moja mwanamke yeyote aliye mbele yangu ni halali yangu.
Aiseee, weupe na wenye miguu ya bia watanikoma.
kumbe wewe mwanaumeeeeeeeeeeee....................!!!!!!
1.Napenda siku moja hapa dar matafriki wasiwe kazini jiji zima wala taa zisifanye kazi.Yaani ni madereva tu na magari yao.(lengo nataka kusikia matusi na misele ya madereva wetu)
2.Napenda siku moja benk zote mjini ziruhusu watu 'kujisevia' wenyewe,yaani kama vile kwenye harusi unavyojipakulia msosi.So mtu unaingia tu mle kwa keshia unawekea au unatoa pesa mwenyewee!! Au unaenda pale bodi ya mikopo unajikopesha milion kadhaa hv. Nk
3....!
4....!
Jazia na zako unazopenda siku moja zitokee
ningependa holidays ziongozane kiasi cha mwezi hivi no job, tunalala
Yani kula, kulala tu.tusije tukalala moja kwa moja!
Naomba siku moja nimuone Deejay Nasmile...
Siku moja MwanaAsha apate div I ya 7!!
MAPROSOO.
Napenda siku moja nijue jinsia halisi ya Kongosho....
Huwa namwona anacheza kotekote...tehhahahahahaha.kongosho ni boy yule!!!!
Huwa namwona anacheza kotekote...teh