napenda sana wanavyoshauri

napenda sana wanavyoshauri

thehunk

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
533
Reaction score
233
nikiwa kwenye hili jukwaa la MMU napenda sana ushauri wa jinsi ya kike ....sijui kwanin ila nahisi wengi wao huwa ni wakweli nikiwalingansha na ushauri kutoka upande wa kiume
 
a positive thread ngoja waje kuichakachua sasa hivi na kuanza kulist their negativity
 
Simple tu hivyo! May be! Ngoja wakiumeni waje!
 
ahaaa.. kumbe unataka ujuue jinsia ya kike uanze kuwa pm
 
Mti ni mti na chuma ni chuma!!!!!!

Kiumeni haina kuremba na wengi hupenda a good tone na sugar coating ambayo upande huu hakuna!!!


Deducing from the thread keanly,do you mean men (us) are liars??????!!!!!!!
 
Mti ni mti na chuma ni chuma!!!!!!

Kiumeni haina kuremba na wengi hupenda a good tone na sugar coating ambayo upande huu hakuna!!!


Deducing from the thread keanly,do you mean men (us) are liars??????!!!!!!!

I did n't mean that all men from this group are liars .....but what i am trying to say is most of them are ...i am a man too so it help ...and i know what i am saying
 
nikiwa kwenye hili jukwaa la MMU napenda sana ushauri wa jinsi ya kike ....sijui kwanin ila nahisi wengi wao huwa ni wakweli nikiwalingansha na ushauri kutoka upande wa kiume

Dalili za awali za ukicheche hizi
 
nikiwa kwenye hili jukwaa la MMU napenda sana ushauri wa jinsi ya kike ....sijui kwanin ila nahisi wengi wao huwa ni wakweli nikiwalingansha na ushauri kutoka upande wa kiume
Kwanza kabisa unajiaminishaje kuwa member flani ni demu au dume? Avatar au? Angalia usijeingia choo cha kike kama swahiba wangu mmoja. Alipeana kideti na member mmoja huku akidanganywa na avatar. Walipokutana jamaa nusura azimie.... Angeliwa 0713 wallah.

Haya Kongosho njoo uwaambie watu jinsia yako haraka.
 
Last edited by a moderator:
Mti ni mti na chuma ni chuma!!!!!!

Kiumeni haina kuremba na wengi hupenda a good tone na sugar coating ambayo upande huu hakuna!!!


Deducing from the thread keanly,do you mean men (us) are liars??????!!!!!!!

Ukweli unauma!
 
sijui kwanin ila nahisi wengi wao huwa ni wakweli

Hujui kwa nini halafu katika hali ya sintofahamu ghafla unajikuta unahisi...hiyo ni dalili ya kuwa confused...
And to prove that one, angali mwisho unajumuisha kwa kueleza kuwa wengi ni wakweli...give me a break puliiiiiz...una hakika gani mtu ni mkweli, humjui kwa sura, umbo wala hujawahi kumuona!!!
With such mind si ajabu ukawa mtaji mzuri sana wa chuma ulete kama sio wale waonesha mazingaombwe...
 
sema wanawake wa humu wana -pretend....hawaongei ukweli unavyotakiwa..
 
Ngoja niiangalie kwanza, nimesahau ujue.

Kwanza kabisa unajiaminishaje kuwa member flani ni demu au dume? Avatar au? Angalia usijeingia choo cha kike kama swahiba wangu mmoja. Alipeana kideti na member mmoja huku akidanganywa na avatar. Walipokutana jamaa nusura azimie.... Angeliwa 0713 wallah.

Haya Kongosho njoo uwaambie watu jinsia yako haraka.
 
Last edited by a moderator:
nikiwa kwenye hili jukwaa la MMU napenda sana ushauri wa jinsi ya kike ....sijui kwanin ila nahisi wengi wao huwa ni wakweli nikiwalingansha na ushauri kutoka upande wa kiume

We pia wa kike...?
 
Back
Top Bottom