MARA-MUSOMA 1. Lady jaydee 2. best nasoro 3.runguya (huyu hivi sasa ni marehemu alikuwa mpiga zeze maarufu mara na viunga vyake)
Niaje wana JF, Natumai ni wazima wa afya, nipo hapa kutaka kujua wasanii wetu wa Bongo flavour mikoa wanayotoka.
Nikiaanza na mkoa wa Tanga ambao baadhi ya wasanii asiliyao ni uko ni kama ifuatavyo:
TANGA kuna;
1 Sumalee
2 Cpwaa{halifa ilunga}
3 Matonya{Sefu Shabani}
4 Kassim Mganga
5 Wagosi wa Kaya
6 Ring 2be aka Pete{Rashidi Ngayama}
7 Mwana FA{Hamisi Mwinjuma}
8 Bwana Misosi
9 Q Chilla{Abubakari Katwila}
10 MB Doggy{Mbwana}
11 R.O.M.A{Ibrahim Mussa}
12 Top C
13 Dr Karim
14 John Walker
15 Gelly wa rhym
16 Hemed Phd{Hemed Suleiman}
17 Sharomillionear{Mohamed Mtikey}
18 Danny Msimamo
19 ...........................
Wengine ambao nimewasahau mnaweza kuwaorodhesha, na mpia mtuletee majina toka mikoa mingine:israel:
Arusha...joh makini, nikki 2, g nako, lord ez, jcb, mo plus, nakaya, tash, dogo janja, bonta, shah bang, genrez mwakitabu, mapacha, banx, jambo squad, stopper
jamani bwana misosi siwa kigoma? alipiga kerere sana alivyo kosa kwenye LEKA DUTIGITE....
Arusha...joh makini, nikki 2, g nako, lord ez, jcb, mo plus, nakaya, tash, dogo janja, bonta, shah bang, genrez mwakitabu, mapacha, banx, jambo squad, stopper
Kigomaaaa eheeee kigomaa leta tutigikeeeeeeee,mkuu na nyie wa tanga si muanzishe yenu??
Mbeya
AY
Izo buziness
Vumilia
Shaa
Witness
Omari Mkali
Waimba gospel wooote!