Kuiba hela za serikali kwa ajili ya chama na wanachama wa ccm kwa ajili ya familia zao. ni dhahiri tunaamini bila Tanzania ccm itakuwepo. wale wenye uzalendo na wanaweza kufikiri walau hata kidogo hawanampango na ccm tena. mliopumbazwa na watawala ili msione fungukeni tunusuru nchi kutoka kwenye mfumo usiotazama tanzania bora. nchi inaduma ndugu