Katika harakati za kampeni za Ubunge huko Arumeru Mashariki sijawasikia wanasiasa maarufu Nape Mnauye na Zitto Kabwewakiwanadi wagombea wao huko.Kulikoni?
Nape ni kwa sababu ya beef lake na Lowasa,Zitto hataki nyota ya kuandikwa magazetini ifukiwe na Joshua Nassari,Vicent Nyerere,Mbowe na Dr Slaa ha ha I am the boss