Hadithi hadithi......hadithi njoo utamu kolea!!hizo ni ngonjera,namkumbusha nape kuwa maadhimisho ya mwaka jana ndiyo yalizua gamba ni vizuri kwanza wakamalizana na hilo kuliko kurukia lingine,pia aelewe kuwa ccm bila rushwa haiwezi kushinda hivyo hilo ni tatizo lingine anataka kuanzisha na atapata upinzani zaidi ya gamba kwani hapa ni ccm wengi mno kama si wote hawatakuwa naye pamoja,kuwa makini utazeeka kabla ya wakati wako ndugu yangu,kuisemea ccm ni lazima uwe kama kachizi fulani hivi.