Goodvision
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 854
- 457
🤣🤣Huyu jamaa huwa ana akili ndogo sana ndio maana alikwenda kupata shahada Bangalore India chuo local India. Hupokea vilaza wenye maksi za chini.
🤣🤣Huyu jamaa huwa ana akili ndogo sana ndio maana alikwenda kupata shahada Bangalore India chuo local India. Hupokea vilaza wenye maksi za chini.
E chezea hela wew watu wakaamua kudhalilika kisa pesaAliwapa hela ili ionekane anakubalika. Sasa we unadhani angefanyeje.
Duh kweli mtu unaweza kukubali kuwakanyaga kwa kupita juu yao binaadamu wenzako. ??! Kweli watu wanamjaribu sana Muumba.Hivi kweli unawezaje kuita wenzako viroboto kama mnavyojuwa sifa za hao wa dudu ni kuuma na hupenda kukaa sehemu chafu...
Lakini mimi sina shida na nape nanachokionana ni Ofisi kuu ikulu kumona ni mtu mwenye tija acha tuwe na subira tuone panaponyeshaHuyu waziri siku zote ni mropokaji! Hana ndhamu! wala sio smart hata chembe ktk kazi zake.
Hakustahili kukalia kiti ktk ofisi za umma kabisa kwani hana sifa hata chembe kukalia hivyo viti.
Ukijumlisha na makama na januari. Ndi kete zilizoishusha hadhi ya awamu 6Binafsi, kiukweli kabisa sikuridhishwa na maamuzi ya Rais Sa100 kumrudisha Nape wizarani...hana maajabu hata kdg, mwingine ni Jenista Mhagama.
Moja ya maamuzi yaliyonifanya niione serikali awamu ya 6 haiko serious.
Hakika ngoja bandari ya bagamoyo ianzeSasa hivi team Mipasho Jazz Band ndio imeshika hatamu, kambi ipo Msoga. Tutaona mengi.
Inaanza liniHakika ngoja bandari ya bagamoyo ianze
Kwahiyo tusikosoane, mwenzetu akikosea tumuangalie sio?Tuache makasiriko na tupambane na hali zetu wakuu, hata wewe mtoa mada ungelikuwa kwenye nafasi yake Mkuu hakika ungelifanya the same.
Tujaribu kufocus na issues muhimu kukwamua family zetu(yako)
Tuache blah blah
mbona kama ccm hawa, tangu lini ccm wakawa na akili
Kwahiyo tusikosoane, mwenzetu akikosea tumuangalie sio?
Ccm inamiki maisha yetu mkuu! Wao nadio wanatoa Raisi na Watendaji wote. Mfano halisi leo tunalia na mtozo.Hauwezi change uhalisia mkuu, tupambane na life zetu. Tuwaachie ligi zao hao wanasiasa
Ccm inamiki maisha yetu mkuu! Wao nadio wanatoa Raisi na Watendaji wote. Mfano halisi leo tunalia na mtozo.
aliomba msamaha mbele ya makamera pale ikulu na ikakubaliwaHajawahi kuwa na akili.
Aliyemrudisha Nape yupo anachekacheka 24/7....Binafsi, kiukweli kabisa sikuridhishwa na maamuzi ya Rais Sa100 kumrudisha Nape wizarani...hana maajabu hata kdg, mwingine ni Jenista Mhagama.
Moja ya maamuzi yaliyonifanya niione serikali awamu ya 6 haiko serious.