Hakuna jipya kwani tumezowea kusikia hivyo. AKICHOKA KUUNGURUMA AKOROME KABISA.
huyo mbunge wamemnunua kwa shiling ngap?
Mkuu ni kweli kabisa.badala waelezee. Kuhusi mikakati ya chama chao wao wanatusaidia ku promote chadema. Agenda yao kuu ni chademaInatakiwa hawa viongozi wetu waeleze sera za Chama chao na kutueleza ahadi za rais zimetekelezeka kwa kiasi gani hadi sasa na nini mkakati wa chama sio kutueleza Habari za CHADEMA kwani zinatusaidiaje Wananchi??