Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

Dah hao wote nawaangalia wana maisha duni sana, wanapewa hongo ya khanga.
 
Huu ujumbe ni mzuri sana kwa Nape,ila kwa sababu anajifanya mjuaji wakati hajui kitu tunamuacha kama alivyo,
Nape ni mlopokaji na ni mtu asiye na msimamo,
mimi namfananisha na kinyonga kwa sababu yuko tayari kuikana hata rangi yake harisi,
nadhani wengi tumemshuhudia kwa maandishi na kauli zake za mipasho,
huyu jamaa ni sikio la kufa hata tufanyeje haliwezi pona.
 
hapo nadhani anaimba kale ka wimbo: sandakalawe apate...kipapatio, cha kuku...kuku gani...!
 
Kuna wakati 1+1="(moja ndefuuu)" na kuna wakati "mtoto wa nyoka si nyoka"
 

Nimeipenda hii! Well done.
 

[h=3]Nape Anasema: " Inanipa Faraja Kusemwa Na Waovu"- Kutoka Facebook[/h]
[h=6]"INANIPA FARAJA KUCHUKIWA NA KUSEMWA VIBAYA NA WAOVU( wezi na watumiaji vibaya wa rasilimali na dhamana za uongozi walizopewa). HII INANIFANYA NISONGE MBELE KUWATETEA WANYONGE NA MASIKINI WA NCHI YANGU DHIDI YA UNYANG'AU WA MAFISADI HAWA!"- Nape Nnauye[/h]We call it Nape versus Maige. Angekua amesoma ushauri huu leo asingeandika haya.
 
Here we go again,

Personalities over policies, puppeteering over philosophizing, pubertal palavering over pointed punditry, putrid pugilism over potent pragmatism , philistine partisanship over poised pondering, pretentious pregnant populism over practical and pursuable productivity...

And that's just in the p's...
 
Huwa najiuliza, hivi Nnauye Jr angekosa ule Ukuu wa Wilaya wa Masasi ambao ulimpelekea kuteuliwa kuwa Katibu wa Itikiadi na Uenezi hivi leo hii angekuwa wapi?

TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:
thitakii....bwaana.yaone.basi nampa huyuuu........haha. Thats is the power of proffessional photographers.They have heart and addditional eye on the lens.
 

The guy is naive here...anajikuta ktk hali ambayo hata osama alimini kuwa anaua kwa ajili ya bigger course ..kuwa wanafanya ktk kumsujudia Mungu...na kukomboa mataifa ya kiislam na Yerusalem..

Kwa siasa za kijinga za ccm za kuwaita wachina true friends ktk soko huria, tena wakati wachina wananegotiate serious deal atmosphere ina mparalyse km vile amekwenda ktk shrine toa sadak.


-Nape anaweza kuwa hajui masikini ni nani ndio maana anaongea vitu vinavyoshangaza watu wote hadi hao masikini.Does it mean lazima ongee, hata kama kazi yake ni kuongea, kwaniakichelewa kidogo tuu si watawahi akina wassira, na wengine.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…