Nape apongeza upinzani

Nape apongeza upinzani

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
557
Reaction score
1,544
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa ushiriki wao kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwataka waongeze kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14% hadi sasa ni mdogo ukilinganisha umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao ni miaka 20
 
Hii asilimia 14 anaiptata kutokana na takwimu za vijijini.mfano Arusha chadema kutoka mitaa 7 mpaka 75. Hii ni sawa na ushindi. Kuna Mbeya pia Mwanza. Ukumbuke idadi ya wapiga kura kwa mtaa vijijini ni tofauti na mjini. Sasa tunaenda kwenye uchaguzuzi mkuu ambapo vijana wote ambao toka 2010 walikuwa hawajatimiza umri wa kuwa mpiga kura sasa wametimiza nao watajiandikisha kwa wingi na wanataka mabadiriko.
Nape yuko Gizani.
 
takwimu ya nape,naikataa.cyo sahihi.ccm safari hii ni kifo cha mende,mgongo wa chali.majimbo mengi wamepoteza mitaa...!nadhani sasa sauti ya umma imeckika vyema.watanzania tumeelewa mamlaka yetu iko wapi;ni kura..!tutawahukumu kwa hiyo mamlaka tuliyo nayo kikatiba kwa kupiga kurq kwa wingi ili mradi tuwanyanganye hayo madaraka yanayo wavimbisha vichwa.imefika wakati watanzania tunaitaji nchi yetu,trust me tunaichukua.....!kajitathmini muwezavyo,hakika hakuna mtakalo lifanya kuzibadili nyoyo zetu.na mwaka 2015 mtashindwa kwa kishindo.
 
Unajadili hoja za Nape kwa kina kweli...???? Endelea na mambo mengine. Kazi ya Nape ni kuongea ongea tu basi..!! So akiongea msikilize then endelea na shughuli zako....!!!!!!!
 
Hii asilimia 14 anaiptata kutokana na takwimu za vijijini.mfano Arusha chadema kutoka mitaa 7 mpaka 75. Hii ni sawa na ushindi. Kuna Mbeya pia Mwanza. Ukumbuke idadi ya wapiga kura kwa mtaa vijijini ni tofauti na mjini. Sasa tunaenda kwenye uchaguzuzi mkuu ambapo vijana wote ambao toka 2010 walikuwa hawajatimiza umri wa kuwa mpiga kura sasa wametimiza nao watajiandikisha kwa wingi na wanataka mabadiriko.
Nape yuko Gizani.

Nape hajadanganya ndugu.mahala ambapo vyama vingine havijapenya ni vijijini,amini usiamini watu tunaoishi mjini ni wachache sana ukilinganisha na vijijini,na huko hakuna tv hakuna magazeti wala simu hizi tunazotumia kusoma jf na makala mbali mbali kujua inchi iko wapi sasa,ndiyo maana unaona chama hicho kikiwa na shughuli mjini hakina watu na wanapeleka magari vijijini kuleta watu wao,wakishuka hapo we mwenyewe shahidi..kwa hiyo huyu mtu yuko sahihi,vyama hivi vinachezea town tu.
 
Wapinzani wajitaidi sana kwenda vijijini, vinginevyo ni shida.

Kwa mfano vijiji vya mkoa gani make mie nimepita sana vijijini watu wanaelewa kuliko wale walioko dar ambao magazeti na vituo vya TV ndo ofisi zao na matangazo yanakoanzia
 
Back
Top Bottom